Home Search Countries Albums

Maria Lyrics


Nilipanga milele kuishi naye
Kwenye shida na raha nitakufa naye
Asiniache njiani natembea naye
Oooh Mary Mary ooooh

Hayo machozi ukifuta nitalia naye
Ye ni nyoka inawaka nawaka naye
Akiniita nakuja hakuna baadaye
Oooh Mary Mary ooooh

Kwake roho imetua oooh Mashallah
Siondoki wengine nawakataa
Mary mtoto kaumbika nawakataa
Nilijua nikimkosa mwana balaa

Kuwaza ataniacha nakataaa
Oooh Mary Mary oooh 
Oooh Mary Mary oooh 
Oooh Mary Mary oooh 

Ooooh Maria, 
Maria Maria Maria
Maria Maria nalia
Aaaah nimekomaaa

Ooooh Maria, 
Maria Maria Maria
Maria Maria nalia
Aaaah nimekomaaa(Aaah)

Mary mbona unaniacha mimi?
Umeondoka wanitesa mimi
Nateseka hata siamini
Umenibwaga umenitupa chini

Mahabuba ma pochi pochi my love
Nakuwaza ma pochi pochi my love
Usiniwache ma pochi pochi my love
Nakupenda ma pochi pochi my love

Kama pesa zisije kukuhandaa
Usijeniacha ukafuata mapapa
Mi ni mkweli kwa penzi lako
Mpaka kufa mimi ni wako

Ooooh Maria, 
Maria Maria Maria
Maria Maria nalia
Aaaah nimekomaaa

Ooooh Maria, 
Maria Maria Maria
Maria Maria nalia
Aaaah nimekomaaa(Aaah)

Mary cheza 1, 2 na unaclap clap
Mary makofi Mary kwa kwa
Weka pozi kaswag kwenye snap snap
Mary wat wat, yaani kwa kwa

Mary cheza 1, 2 na unaclap clap
Mary makofi Mary kwa kwa
Weka pozi kaswag kwenye snap snap
Mary wat wat, yaani kwa kwa

Yeah yeah, Chidi Benz
Yeah yeah, Chidi Benz....

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Maria (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHIDI BEENZ

Tanzania

Chidi Beenz aka Chuma is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE