Home Search Countries Albums

Salio

MARIOO

Read en Translation

Salio Lyrics


Kutoka alooh

Aah

Ooh yeah

Nashukuru nimejua kisa salioo

Ngoja kwanza nitafute hela

Kumbe shida sina salio

Acha basi nkatafute hela

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Nilekaa, naumiza ndonga

Almanusura nidate

Aah nimekaa naumiza ndonga

Chupu chupu nipagawe

Maana usiku kucha unanisifia

Kukikucha unani cheat

Na tena

Mara kwa mara unaniambia

Kitu yangu ndio inayofiti

Mara paah natumiwa

Video zako unaliwa

Mate kwenye ndinga

Mara daah naambiwa

Una danga lako

Lenye umri wa kukuzaa

Nikawa nashangaa

Nashukuru nimejua kisa salioo

Ngoja kwanza nitafute hela

Kumbe shida sina salio

Acha basi nikatafute hela

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Si kila kitu tulifanya kwaajii yako

Na wewe ukaniaidi utazikwa na mimi

Hata kitu niliwasha kwaajili yako

Ni wewe ndio ulitaka uvute na mimi

Maneno yako yaliniaminishaa

Na mi nikajiamini, comfortability

Vitendo vyako viliniaminisha

Kumbe sioo, negativity

Mara paah natumiwa

Video zako unaliwa

Mate kwenye ndinga

Mara daah naambiwa

Una danga lako

Lenye umri wa kukuzaa

Nikawa nashangaa

Nashukuru nimejua kisa salioo

Ngoja kwanza nitafute hela

Kumbe shida sina salio

Acha basi nikatafute hela

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Si ungesema kisa heee

Ndio inayofanya nikose raha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©2024 Bad Nation.All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE