Salio Lyrics
Kutoka alooh
Aah
Ooh yeah
Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nkatafute hela
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Nilekaa, naumiza ndonga
Almanusura nidate
Aah nimekaa naumiza ndonga
Chupu chupu nipagawe
Maana usiku kucha unanisifia
Kukikucha unani cheat
Na tena
Mara kwa mara unaniambia
Kitu yangu ndio inayofiti
Mara paah natumiwa
Video zako unaliwa
Mate kwenye ndinga
Mara daah naambiwa
Una danga lako
Lenye umri wa kukuzaa
Nikawa nashangaa
Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nikatafute hela
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si kila kitu tulifanya kwaajii yako
Na wewe ukaniaidi utazikwa na mimi
Hata kitu niliwasha kwaajili yako
Ni wewe ndio ulitaka uvute na mimi
Maneno yako yaliniaminishaa
Na mi nikajiamini, comfortability
Vitendo vyako viliniaminisha
Kumbe sioo, negativity
Mara paah natumiwa
Video zako unaliwa
Mate kwenye ndinga
Mara daah naambiwa
Una danga lako
Lenye umri wa kukuzaa
Nikawa nashangaa
Nashukuru nimejua kisa salioo
Ngoja kwanza nitafute hela
Kumbe shida sina salio
Acha basi nikatafute hela
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
Si ungesema kisa heee
Ndio inayofanya nikose raha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2024
Album : (Single)
Copyright : ©2024 Bad Nation.All rights reserved.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE