Home Search Countries Albums

Final

CHEED

Final Lyrics


Kimenoga hiko
Michezo hatari mpaka naomba po-le
Kitoga hiko, nakatafune kama mboga hiko
Nyuma kakaficha maboga huko

Nakafundisha kupiga yoga hiko
Katoto kamenirogako
Katoto kamenivuruga hiko
Lalalala...

Mwana mwali machachari 
Kwenye kona anavyonipa naam
Sakafuni juu ya dari 
Bwana raha tunapeana

Kanipa vyeo yeye ni jemedari
Kwa mapenzi ni hodari
Nilikatongoza na kama utani
Kakaja kunikubali

Yeye amenituliza ruhani
Wacha niwape habari
Sasa najilia raha za Pwani
Huku upepo wa bahari

Final, tutururu
Oh final, mwanga nuru
Final, ooh finale
Final mimi naye

Final, akija ghetto nikapakate
Final, napiga moto mpaka kadate
Final, leo finale
Final

Zuum zuuum, zuum zuum
Nakatulizia na ndum
Naugum na ugum
Nitakutulizia ugumu

Nipe mauno ngenga
Nikupakie ufuta la ngendo oh
Sa ipeleke kando
Mwana nandy sasambua jando oh

Kimenasa chambo (Chambo)
Kakubali nihamishe ng'ambo
Leo atayaona mambo
Ka kipigo cha baba wa kambo

Kanipa vyeo yeye ni jemedari
Kwa mapenzi ni hodari
Nilikatongoza na kama utani
Kakaja kunikubali

Yeye amenituliza ruhani
Wacha niwape habari
Sasa najilia raha za Pwani
Huku upepo wa bahari

Final, tutururu
Oh final, mwanga nuru
Final, ooh finale
Final mimi naye

Final, akija ghetto nikapakate
Final, napiga moto mpaka kadate
Final, leo finale
Final

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Final (Single)


Copyright : (c) 2021 Konde Music Worldwide


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHEED

Tanzania

Cheed is an artist from Tanzania signed under Konde Music Worldwide by Harmonize. He was formerly si ...

YOU MAY ALSO LIKE