Home Search Countries Albums

Kama Yeye

LINAH

Kama Yeye Lyrics


Mi kwake kitoweo
Ata nitoweze
Kanishika kunako leo
Acha nijieleze

Yaani leo ni leo
Asemaye kesho muongo
Ananikosha vile
Ananisugua kwa mgongo

Ananikosha kwa ulimi
Dondoke litanichubua
Tena amekula yamini
Kitabu cha moyo wangu anabukua

Ile michezo ya chumbani
Nilofunzwa mkoleni, nampa yote
Iwe kweupe gizani asipange foleni
Kama maji achote

Haki ya Mungu sijaona
Kama yeye, kama yeye
Anavyonikuna kila kona
Kama yeye, kama yeye

Walipochana ameshona
Kama yeye, kama yeye
Hata kugombeza ananong'ona
Kama yeye, kama yeye

Ye wangu bodaboda 
Ananifikisha popote nitakapo
Yaani kama order
Nadeka ananidekeza kama mtoto

Yaani kiboko, kama sugar wameweka kwa togwa
Nimetulizwa ropo, hadi mashoga wanadai nimemroga

Amenitouch ile mbaya
Yaani size haijapwaya
Mi socket ye ndo waya
Akichomeka ni fire

Ile michezo ya chumbani
Nilofunzwa mkoleni, nampa yote
Iwe kweupe gizani asipange foleni
Kama maji achote

Haki ya Mungu sijaona
Kama yeye, kama yeye
Anavyonikuna kila kona
Kama yeye, kama yeye

Walipochana ameshona
Kama yeye, kama yeye
Hata kugombeza ananong'ona
Kama yeye, kama yeye

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kama Yeye (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LINAH

Tanzania

Estelina Peter Sanga aka Linah is a Tanzanian award winning singer and performer with few hits in he ...

YOU MAY ALSO LIKE