Home Search Countries Albums

Sio Vibaya (Ex)

BUKI

Sio Vibaya (Ex) Lyrics


Nakuombe ex wangukwa jabali
Akukinge  na kilalenye shali
Akuepushe na mabwana matapeli
Mahusiano uliyonayo yafike mbali

Liwalo na liwe wa
Sawa naomba niwe rafiki yako
Usinichukie wala me sio adui yako
Naomba msalimie
Huyo aliyeteka  moyo wako
Nilitamani niwe mie
Ila tatizon sina kipato

Na sio kwamba nilipenda nikutembeze
Ila uwezo wa gari ningepata wapi
Me sio kwamba nilipenda usipendeze
Uwezo  wa mavazi ningeupata wapi
Na sio kwamba nilipenda nikukondeshe
Mlo wa raka tatu nigeupata wapi
( mamama mamama…)
Niambie wewe wengepata wapi

Sio vibaya
Nitembelee ghetto kila ukipata nafasi
Sio vibaa  mara moja moja ukanitumia SMS
Sio vibaya
Japo nikipiga simu unampa yeye anapokea
Sio vibaya
Nikutuma meseji unampa yeye nachati nae
No  no no no no no

Meseji nikituma unaziona ila hutaki kunijibu
Lipi nililokosa kipenzi tafadhali unijibu
Au masikini haturuhusiwi kupenda kipenzi nijibu
Nonono nonono toba yarabi mbona  wani hadhibu
Tena ulinizaoesha vibaya
Season kunikodia wahindi nawa Korea
Na ulipenda nikikuimbia
Najua leo mwingine nakuimbia
Majua me mvinu wa kufua
Wasani nani atanifulia
Siku hizi ghetto limekuwajala

Na sio kwamba nilipenda nikutembeze
Ila uwezo wa gari ningepata wapi
Me sio kwamba nilipenda usipendeze
Uwezo  wa mavazi ningeupata wapi
Na sio kwamba nilipenda nikukondeshe
Mlo wa raka tatu nigeupata wapi
(mamama mamama…)
Niambie wewe wengepata wapi
(
Sio vibaya (Sio vibaya mamama)
Sio vibaya
Sio vibaya
Sio vibaya, Sio vibaya nana lalalala
Lalalalalalala

 

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Sio Vibaya (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

BUKI

Tanzania

Buki is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE