Home Search Countries Albums

Peke Yako

WYSE

Peke Yako Lyrics


Kwenye kitabu changu cha mapenzi
Kurasa ya kwanza iko picha yako wewe
Kutwa naomba kwa mwenyezi
Nisije kukukwaza ukaniacha mwenyewe

Umeuviringisha moyo wangu
Siwezi bisha ee 
Umetakatisha akili yangu
We ndo wa maisha oh wee

Hata kama wakisema
Sitajali kamwe
Chanda changu chema
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Mimi kama nikikosa unanipa moyo
Unanisihi tusichoke kutafuta
Tulivyo kama mapacha tukiwa wote
Shida zangu ndio zako zikinikuta

Ukiniangalia mwenzako nyang'anyang'a 
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Sitokuachia mwenzako nitang'ang'ana
Nafurahia nipende sana sana oyee

Hata kama wakisema
Sitojali kamwe
Chanda changu chema 
Kitavikwa nawe

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Sitocheza na hisia zako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah
Nitabaki wako peke yako
Ah ah ah ah, ah ah ah ah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Peke Yako (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WYSE

Tanzania

Wyse is a singer/songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE