Accueil Recherche Pays Albums

Bifu la Nini

BEST NASO

Bifu la Nini Lyrics


Asa hivi kila kona stori za Kajala
Mara mbula kajala mambo dala dala
Wamesahau wengine tuna mfungo
Kazi yao ni kurushana madongo

Hivi tunakwenda wapi wasanii wa Bongo
Kuna mwingine katongoza mtoto kala
Mara penzi likanoga 
Wakajisahau kidogo, zikavuja picha
Mama anamiliki ba mdogo Konde
Konde akaanzisha timbwili
Mgogoro, afungwe Vanny Afungwe (Mgogoro)
Tulikomeshe tabia hii (Mgogoro)

Niliposikia nami nikasema 
Sababu ana mtoto wa kike
Na anaitazama kesho yake 
Kwa uchungu sababu ye ni mzazi eeh

Kumbe ana tamaa
Aliamini anafaidi mwenzake
Akataka vyote vyote viwe vyake
Bila kujali yule ni mama na mtoto wake

Oooh Kibo wametuvua nguo wanaume
Aibu ameonyesha na maproso
Zimevuja picha Youtube na Insta
Nimeogopa mpaka moyo ukadunda du du

Hey wagwana eeh
Mziki mbona mnauharibu eeh
Hey wajomba eeh
Mziki mbona mnauharibu eeh

Hey wagwana eeh
Mziki mbona mnauharibu eeh
Hey wajomba eeh
Mziki mbona mnauvuruga eeh

Kwa mambo ya kikuu kuu kuu
Frida Kajala tumia busara mambo yaishee
Acha yapite
Vanny Boy chuki haifai nadhani sasa muelewane
Sasa hivi tufanye mziki 
Mbishane kwa verse na beat
Tuacha uzamani huo kutupiana maneno
Tufanye yamekwisha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Bifu la Nini (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzanie

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE