Home Search Countries Albums

Umenipata

LOMODO

Umenipata Lyrics


Oooh baby, nionyeshe
Kipi unataka utapata
Ooh baby nionjeshe
Tamu kwa tamu inanata
Mwenzako kiparu paru chanipanda nataka nataka
(Nataka, nataka)
Penzi jini limenipanda la jini makata
(Makata makata)
Moyo wangu umejawa viraka (viraka)
Nawe ndio fundi wangu nitengenezee
Penzi langu mama lina mashaka (mashaka)
Nawe ndio chaguo langu usinipotezee
Kuchepuka naona shida kwingine nitake nini
Kwako nakula nashida (hii hii hii)

[CHORUS]
Umenipata, pata umenipata
Umenipata, pata umenipata
Umenipata, pata umenipata (unanipata baby)
Umenipata, pata umenipata (unanipata baby)

Na hata nikilia wanifuta machozi nakuona mkombozi
Dear sijiwezi, kinaniwasha kidudu penzi
Hutaki yale ya mtandao kuniita lomodo voice killer
Au yale ya video kucheza nusu uchi kama shaoira
Nikipenda napenda mazima, sijawahi kutendaga
Wanaokuja wanapima wanapima wananimwaga
Mie mnyonge ngonjwa wako nipe vidonge
Nishuke mabonde mwendo nyatu nyatu nyama na tonge
Mwenzako kiparu paru chanipanda nataka nataka
(Nataka, nataka)
Penzi jini limenipanda la jini makata
(Makata makata)
Moyo wangu umejawa viraka (viraka)
Nawe ndio fundi wangu nitengenezee
Penzi langu mama lina mashaka (mashaka)
Nawe ndio chaguo langu usinipotezee

[CHORUS]
Umenipata, pata umenipata (unanipata baby eh)
Umenipata, pata umenipata (nakupata unanipata)
Umenipata, pata umenipata (unanipata baby)
Umenipata, pata umenipata (unanipata baby)
Hii iih iii, iiyee eeh ( unakupata baby iye)
Ooh oooh ooh ( unakupata baby ah)
Unanipata baby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Umenipata (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

LOMODO

Tanzania

LOMODO is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE