Home Search Countries Albums

Baunsa

BEST NASO Feat. ASLAY

Baunsa Lyrics


Penzi lake mieleka
Ila alinipenda na mi nikapendeka
Sema ngumi mkononi
Anarusha kota utasema nadeka

Kilichofanya nikamteka
Nilikuwa msasa kwa bedi namwosha
Tuzo kanipa chumbani
Kipengele bora cha kumpaga waiter

Eti kadata kanasa kasema anataka
Nibaki na yeye 
Ila vikasa napata nikimuudhi 
Vipi nimuelewe

Mmmh mpenzi wangu komando
Na kapipi na ati anakaba kwenye koo
Anachonishinda ananipa sana doh
Ndo maana nashindwa kwenda kokote

Baunsa akee baunsa
I love you, baunsa akee, anha baunsa
Nakupenda, baunsa akee
I love you, baunsa akee, anha baunsa
Nakupenda, baunsa akee

Namba yake tisa kajaza juu yaani ana kifua
Ananipiga madondi na nampenda sana
Na mabavu sana utadhani sio msichana
Nampenda baby mama 

Mi ananituma sokoni
Ye anakwenda gym kuongeza body lake yeye
Siku hizi majirani wananiambia mimi mume bweke
Wananitukana hawajui penzi lake mimi nimelizoea
Twapendana na nitakwenda bara naye eeya eeh

Japo ana nguvu kama John Cena 
Kitandani naenjoy tena kwa sana
Ingawa penzi lake la kijeshi bausa
Ananipa vingi siwezi mwacha bausa
Kitandani mateke yaani fundi baunsa
Misoma somasault miereka

Niende wapi tena? Ooh baunsa
Nimefika safari yangu, ooh baunsa
Baby mama habibi, ooh baunsa
Umezama kwenye moyo wangu, ooh baunsa
Tuli tulia, tutakwenda bara nawe 

Baunsa akee baunsa
I love you, baunsa akee, anha baunsa
Nakupenda, baunsa akee
I love you, baunsa akee, anha baunsa
Nakupenda, baunsa akee

Mpenzi bausa ngumi jiwe utakuja uniue
Najua wivu ndo mapenzi ila punguza kidogo
We mwenzangu kitu kidogo hasira kama mbogo
Baunsa, baunsa ake

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Baunsa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzania

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE