My Babe Lyrics

Aii jamani
Mbona umenika kichwani
Umenipa kitu gani, baby wangu
Hadi natamani, nikufiche chumbani
Wasikuone visirani, baby wangu
Nililia kwa mwenyezi, akayaona machozi
Kanipa wewe kipenzi, kipenzi
Mtaimba na tenzi, nikutulize laazizi
Maana kwako am dead, oh am dead
Amenishika, kanikamata
Mwambieni shemeji yenu apunguze raha
Huba shata shata nanenepa
Mwambieni shemeji yenu apunguze raha
My sweet sweet babe, you’re my babe
Sweet sweet babe, you’re my babe
My sweet sweet babe, you’re my babe
Roho yangu babe, you’re my babe
Ulikua rafiki, ukawa mpenzi
Sasa ni rafiki tunaefanya mapenzi
Kwako niko real sio kama na pretend no
Yani toka tuna dhiki sasa tuna chenji
Nina kupongeza umevumilia menji
Chukihazijengi, kugonbana siwezi no
Babe you teach me how to love
You teach me how to care
And forever I’ll be there for you uuh
Mtoto unawaka waka
Mtoto umetakata kata, mrembo
Nililia kwa mwenyezi, akayaona machozi
Kanipa wewe kipenzi kipenzi
Ntaimba na tenzi, nikutulize laazizi
Maana kwako am dead, oh am dead
Amenishika, kanikamata
Mwambieni shemeji yenu apunguze raha
Huba shata shata nanenepa
Mwambieni shemeji yenu apunguze raha
My sweet sweet babe, you’re my babe
Sweet sweet babe, you’re my babe
My sweet sweet babe, you’re my babe
Roho yangu babe, you’re my babe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Flowers III (Album)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE