Home Search Countries Albums

Sitokata Tamaa

YOUNG FEROOZ Feat. RACHAEL

Sitokata Tamaa Lyrics


Dangboy
Imeandikwa kukata tamaa  Nidhambi
Ata Kama ukilala na njaa    Jitahidi

Si unaona yule anacheka kesho utakuta 
Analia
Wengine kula yao kuteseka kutwa nzima
Kutanga na njia

Mi nikipata kidogo huaga namshuru 
Mungu
Maana kwenye riziki hapakosi mizozo
Kizibiana riziki mafungu

Eeeh nikipata kidogo huaga namshuru 
Mungu
Maana kwenye riziki hapakosi mizozo
Kizibiana riziki mafungu

Eeh nakama imepangwa ipo ooh
Ipo ipo ooh
Najapo tunapitia mapito ooh
Mapito pito ooh

Tamaa tamaa
Naamini SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa 
Naahidi SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa 
Naamini SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa
Naahidi SITOKATA TAMAA

Matatizo ni mengi
Nashida ndio zimetawala aah
Wanabomoa sijengi
Biashara yangu kutwa hasara  aah

Navumilia aaah
Ltafika tu riziki ni mafungu saba
Japo magumu napitia aah
Nishike mkono nisianguke eeh mungu baba

Bado sina nnacho kitaka ndio maana nakazana
Nimezama kina muziki ni haso nazidi kupambana

Eeh nakama imepangwa ipo ooh
Ipo ipo ooh
Najapo tunapitia mapito ooh
Mapito pito ooh
Yashinde majaribu yako ooh
Yako yako ooh

Ya Leo sio ya Jana 
Endelea kupambana inawezekana
 
Tamaa tamaa
Naamini SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa 
Naahidi SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa 
Naamini SITOKATA TAMAA
Tamaa tamaa
Naahidi SITOKATA TAMAA
 
Nijaribu mie
Nijaribu kwingine
Kukata tamaa no no no no oo

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sitokata Tamaa (Single)


Added By : Young ferooz

SEE ALSO

AUTHOR

YOUNG FEROOZ

Tanzania

Young Ferooz is a Singer / actor / director/ Producer & Editor Video from Tanzania signed under& ...

YOU MAY ALSO LIKE