Home Search Countries Albums

Isweke

BARNABA

Isweke Lyrics


Nikwambie nini?
Nakupenda pekee halitoshi
Nimezama, wewe ndoano
Mie samaki naye karibia chambo

Kama maji yakiwa mtungini
Niseme nini?
Na uko akilini yeah eeh

Kama wanitongoza 
Najiuma uma najing'ata vidole
Haiba ya upole yanijaa
Utadhani msichana

Oooh mie wako 
Mfungwa gereza la mapenzi
Pingu za nini?
Na uko akilini yeah eeh

Kama wanitongoza 
Najiuma uma najing'ata vidole
Haiba ya upole yanijaa
Utadhani msichana

Beiby, 
Zile mambo za kufosi mapenzi
Wakati haupendwi mimi sinaga
Mimi sinaga

Mmmh Alhamdulillahi 
Situmii mudende(Isweke)
Nimejaliwa jembe(Isweke)
Kuna muda nalima(Isweke)
Kuna muda navuna(IIsweke, Isweke)

Mara vumbi la kongo(Isweke)
Korosho kidogo(Isweke)
Pweza twende migo migo(Isweke)
Izo mambo sinaga(Isweke, Isweke)

Zile mambo za kulipa room
Kwa nyumba za wageni showtime sinaga
Zile mambo za huyu wa kudumu 
Pembeni vidumu izo mambo sinaga

Eti kibao kata kwa Wanjala
Sare kwa Kajala hizo hanaga
Zile mambo za danga Dubai
Mume yuko Manzese wangu hanaga

Kama maji yakiwa mtungini(Nimepoa)
Niseme nini(Nimelowa)
Na uko akilini iyeee eeh

Kama wanitongoza 
Najiuma uma najing'ata vidole
Haiba ya upole yanijaa
Utadhani msichana

Oooh mie wako 
Mfungwa gereza la mapenzi
Pingu za nini?
Na uko akilini yeah eeh

Kama wanitongoza 
Najiuma uma najing'ata vidole
Haiba ya upole yanijaa
Utadhani msichana

Beiby, 
Zile mambo za kufosi mapenzi
Wakati haupendwi mimi sinaga
Mimi sinaga

Mmmh Alhamdulillahi 
Situmii mudende(Isweke)
Nimejaliwa jembe(Isweke)
Kuna muda nalima(Isweke)
Kuna muda navuna(Isweke, Isweke)

Mara vumbi la kongo(Isweke)
Korosho kidogo(Isweke)
Pweza twende migo migo(Isweke)
Izo mambo sinaga(Isweke, Isweke)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Isweke (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARNABA

Tanzania

Barnaba Classic is a singer, song writer and producer  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE