Home Search Countries Albums

Hainogi

ABDUKIBA Feat. ALIKIBA

Hainogi Lyrics


Kama huna senti, basi utapagawa
Wenzako wanahonga we unalala njaa
Watu wanacheka  na kuna raha
Shida zako weka kando hakuna ujamaa

Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu 

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Lapa lapa anaringa huyo 
Tafuta mwingine fasta
Wengi wako single single single
Oya shusha iweke (Shusha iweke)
Naula ubweche (Naula ubweche)
Choma upepe (Choma upepe)
Au tungi ulete

Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu 

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Ulanji na supu (Hainogi)
Upate udoro na kuku (Hainogi)
Chai na bungo (Hainogi)
Kwa mchawi usiende na ungo (Hainogi)

Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 0


Album : Hainogi (Single)


Copyright : (c) 2021 Kings Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ABDUKIBA

Tanzania

ABDU KIBA  is an artist from Tazania. He is Ali Kiba's younger brother. ...

YOU MAY ALSO LIKE