Hainogi Lyrics
Kama huna senti, basi utapagawa
Wenzako wanahonga we unalala njaa
Watu wanacheka na kuna raha
Shida zako weka kando hakuna ujamaa
Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu
Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)
Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)
Lapa lapa anaringa huyo
Tafuta mwingine fasta
Wengi wako single single single
Oya shusha iweke (Shusha iweke)
Naula ubweche (Naula ubweche)
Choma upepe (Choma upepe)
Au tungi ulete
Na tukiwa na vibe hatunaga aibu
Waliokuja na abaya wamevua hijabu
Naona maajabu kukosa tungi Club
Madenti wanadate mpaka na vibabu
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)
Ulanji na supu (Hainogi)
Upate udoro na kuku (Hainogi)
Chai na bungo (Hainogi)
Kwa mchawi usiende na ungo (Hainogi)
Ona Simba bila Yanga (Hainogi)
Mchawi bila mganga (Hainogi)
Mchepuko bila danga (Hainogi)
Mjanja bila mshamba (Hainogi)
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
Hainogi, hainogi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 0
Album : Hainogi (Single)
Copyright : (c) 2021 Kings Music
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ABDUKIBA
Tanzania
ABDU KIBA is an artist from Tazania. He is Ali Kiba's younger brother. ...
YOU MAY ALSO LIKE