Home Search Countries Albums

Samehe Lyrics


Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua
Mwili ukonde wenzako wanatanua aah
Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh
Bora usonge maana muda unapotea eeh

Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh
Vile uko na uzima shukuru muumba eeh
Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe

Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana 
Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe
Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha
Mungu yuko, yuko shetani ---

Na mwingine si alisema
Ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema
Kabadilikia machoni pako 

Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha

Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana

Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kampeni (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GOODLUCK GOZBERT

Tanzania

Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE