Samehe Lyrics

Umekaa mwenyewe tu, unawaza na kuwazua
Mwili ukonde wenzako wanatanua aah
Ona huyo eeh, ndani imepotea eeh
Bora usonge maana muda unapotea eeh
Wewe si wa kwanza aliyekutenda eeh
Vile uko na uzima shukuru muumba eeh
Mwingine si alisema ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema yabadilikia machoni pako
Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana
Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe
Wabaya ni wao, shetani anasingiziwa sana
Ndani yao, amechagua kuamua mwenyewe
Wabaya wapo, wapo tena wanasikia raha
Mungu yuko, yuko shetani ---
Na mwingine si alisema
Ukimsaidia ana moyo
Mbona ni mapema
Kabadilikia machoni pako
Umejua tenda wema, tenda wema nenda
Umejua tenda wema, tenda wema nenda, yatosha
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Wakiona wakuache, sawa sawa
Wakiona wakucheke, sawa sawa
Vile kama buko uusitose achilia bwana
Basi samehe, samehe, samehe samehe
Basi samehe, samehe, samehe samehe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kampeni (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
GOODLUCK GOZBERT
Tanzania
Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...
YOU MAY ALSO LIKE