Home Search Countries Albums

Si Saizi Yako

AT Feat. ANJELLA

Read en Translation

Si Saizi Yako Lyrics


Utamaliza mafusho mwenzetu kujifukiza
Tena ulitoe jacho kama vile wafukuzwa
Na nikupe taarifa mjini watu tunapeta
Tena nina wajibika kula yangu uhakika
Yaani ukijisafisha uchafu kwako ni dakika 
Hata ukikasirika ujembe lakini umefika

Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani
Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani

Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako
Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako

Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam
Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam

(Aaah..)

Kosa unajifanya mfukunyuku
Leo umefufkunyua kusiko
Si wanati wala vinjuruku 
Hata kwetu sio nacho haupo

Umekosa haya mwana hithaya
Wenzako ni bendi zetu huziwezi
Rudi kwenye kwaya
Sura imekupwaya kwako mambo mbaya
Kama wewe Zenji basi mi wa Tanga
Mambo moto fire

Ngoma nagwa laini nichecheme
Ushazoea kucheza masebene
Ukishindwa umumung'unye uteme
Kidaruso nakuomba unikome

Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani
Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani

Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako
Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako

Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam
Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Si Saizi Yako (Single)


Copyright : (c) 2021 Konde Music.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AT

Tanzania

AT is a Musician from Zanzibar-Tanzania / King of Mduara ...

YOU MAY ALSO LIKE