Corona Lyrics

Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Wote tumuombe Mungu kwa hili janga
Ikibidi lipite
Tujihadhari na tujikinge
Ili lisitufike
Habari kote duniani zimesambaa
Ugonjwa unaua na hauna tiba
Na wengine wetu masikini hatujiwezi
Mwenyezi Mungu kawe tiba
Watoto wetu mashule, aah
Mama zetu tu sokoni
Kwenye vyombo vya usafiri makazini
Tujilinde
Osha mikono, aaah
Epuka mikusanyiko sio ya lazima, aaah
Na uonapo dalili
Mapema wahi hospitali
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
'Hatua zimeshaanza kuchukuliwa
Ameshatoa tahadhari mbalimbali
Ambazo tunatakiwa kuzichukua
Napenda nirudie ndugu zangu Watanzania
Kwanza ni vizuri sana tukaendelea
Kuchukua tahadhari, kwa nguvu zote
Ugonjwa huu unaua, na unaua kwa haraka sana
Niwaombe ndugu zangu Watanzania
Tusipuuze ungonjwa huu
Tusipuuze hata kidogo
Ni lazima tuanze kuchukua hatua
Za kujikinga kwa tatizo hili
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Corona (Single)
Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE