Home Search Countries Albums

Noma Kweli

YOUNG DEE

Noma Kweli Lyrics


Young Daresalama

[VERSE 1]
Kuliko unipende, alafu kesho ukanichukia
Bora nikuwepo utakuwa umenisaidia
Najua mengi umeshasikia na uwongo pia
ila sijali sasa hivi
Nachotaka ni kuskia ukisema

[CHORUS]
Heee... Sema sema hee.. yeah
Sema heee... sema hee!
Let’s go to the....
sema sema sema
Hee! Hee! Hee! Heee!

[VERSE 2]
Siku nzuri asubuhi kumekucha
Ndo nakumbuka kwamba leo na-** kitanuka
Beiby nae kachacharuka
Kakuta text za madem wanataka kuinuka
Home kikanuka  suu
Nisisindwe  ku solvu
Nikakumbuka tu kusema am sorry
Nikamvuta njoo , hapo nabukta soo
Kutoka nnje ka nimeshikwa ukooni

[CHORUS]
Heee... Heee!
Noma Kweli
Heee... Heee!
Let’s go, twende
Hee! Hee! Hee! Heee!
Hee! Hee! Hee! Heee!

[VERSE 3]
Tumekaa siku ya pili
Baada ya moja mbili
Nikaona dalili
Tutaanza kimwili
Sikusubiri nikaona bora kujitenga
Uoga nao akili
Nikaona bora kujitenga
MARA hiki, mara kile
mara kiki, mara zile
Za kufanya mimi nisile
Niko hivi kisa ni wewee
Aaah! Sio kifo mpaka milele
Niko na wewe

kuliko unipende, after show ukanichukia
Bora nikuwepo utakuwa umenisaidia
Najua mengi umesikia na uwongo pia
Ila sai nachotaka ni kuskia ukisema

Eeeehhh… sema sema
Noma kweli
Eeeehhh… sema ... eeh!
Let’s go to the... twende
(hee! hee! Hee!  Hee!

Tony Drizzy…
Touchsound

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Noma Kweli (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

YOUNG DEE

Tanzania

YOUNG DEE  is a recording artist and rapper from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE