Home Search Countries Albums

Antonia

ABBAH Feat. HARMONIZE

Antonia Lyrics


Antonia, Antonia
(Sound by Abbah)
Antonia, Antonia

Ningalikuwa na uwezo ningekujengea nyumba
Na kukununulia gari, gari la upendo
Ama nipulize kitezo, nikurogezee dumba
Wanga wakupikie mbali, unizidishie pendo

Maana mapenzi kidonda
Hata nikipona litabaki kovu
Sitaki mawazo kukonda
Kesho nikikuona nianze toa povu

Maana moyo unaona vya ndani
Ambavyo hata macho yahawezi kutazama
Hivi ni kweli utakuwa nami 
Leo na kesho mtondogoo kiama?

Will you be my wife? Antonia
Will you be my wife? Antonia
Angu ni nyako nakupenda sana (Antonia)
Will you be my wife? Antonia
Will you be my wife? Antonia

(Eeeh will you be my wife? Antonia)

Wanasemaga hasara roho pesa makaratasi
Majumba na magari yao, wengine hata ni ya miradi
Baby wasiwasi ndo akili sio kama natabiri
Hio sio moja, sio wa pili, hivi ni kweli utasubiri?

Maana mapenzi kidonda
Hata nikipona litabaki kovu
Sitaki mawazo kukonda
Kesho nikikuona nianze toa povu

Maana moyo unaona vya ndani
Ambavyo hata macho yahawezi kutazama
Hivi ni kweli utakuwa nami 
Leo na kesho mtondogoo kiama?

Will you be my wife? Antonia
Will you be my wife? Antonia
Angu ni nyako nakupenda sana (Antonia)
Will you be my wife? Antonia
Will you be my wife? Antonia

Abbah your sound so crazy
Konde Boy Jeshi 
Yeah yeah 
(Sounds by Abbah)
Mixed by Simon

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : The Evolution (Album)


Copyright : (c) 2021 Abbah Music.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ABBAH

Tanzania

Abbah Process real name Sweetbert Charles Mwinula is aka the 'Beat Monster' is a music ...

YOU MAY ALSO LIKE