Home Search Countries Albums

Corona

B2K MNYAMA

Corona Lyrics


Oooh aah, oooh
(Naroh)

Yarabi, tuombee
Utuepushe na magonjwa haya
Kuna janga linaitwa Corona
Mwanzo wake huko China

Tujihadhari sana 
Maana Tanzania lishafika
Linasambaa kwa kushikana mikono
Naomba kidogo nitoe somo
Kikohozi mafua dalili nazo 
Na gonjwa linasambaa humo humo

Kwa kubanana banana
Salamu tulizozoea ni kupeana mikono
Ili ujiweke salama epuka salamu 
Za kupeana mikono

Corona, uwe kijana 
Kemea Corona, jikinge na Corona
Baba mama
Kemea Corona, jikinge na Corona

Manesi na madoctor
Kemea Corona, jikinge na Corona
Watu wote
Kemea Corona, jikinge na Corona

Haichagui kijana mzee, usafi uzingatiwe
Vaa mask, osha mikono kila muda
Epuka kugusana ovyo kusalimiana kwa mikono
Uwe balozi kwa wenzako kufikisha hili somo

Kemea mikusanyiko ya watu wengi
Maana ndio inasambaa sana
Tumia muda wako uwajuze wengi
Wajikinge na Corona

Kwa kubanana banana
Salamu tulizozoea ni kupeana mikono
Ili ujiweke salama epuka salamu 
Za kupeana mikono

Corona, uwe kijana 
Kemea Corona, jikinge na Corona
Baba mama
Kemea Corona, jikinge na Corona

Manesi na madoctor
Kemea Corona, jikinge na Corona
Watu wote
Kemea Corona, jikinge na Corona

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Corona


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B2K MNYAMA

Tanzania

B2k Mnyama is a Tanzania artist. He is the C.E.O  of Starbeat Records. ...

YOU MAY ALSO LIKE