Home Search Countries Albums

Uwapende Sana

Q CHIEF

Read en Translation

Uwapende Sana Lyrics


Ondoa mashaka eeh, leo sio juzi
It doesn't matter yaaya yeah yeah
Kikubwa pumzi, keep moving
It doesn't matter yaaya yeah

Unachotaka usisahau ukikipata
Ukipata usisahau kunao
Kumbuka ni Mungu juu ya vyote

Tazama juu, utaiona nuru
Baba God, Baba God, Baba God
Baba God Jerusalema

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah
Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Mpatie chumvi jirani
Usisubiri shukurani
Usiwe kikisirani 
Ukayaweka moyoni kifuani

Cha mwengine usitamani
Hatuwezi kufanana
Ndivyo ilivyo duniani
Jitihada tafuta utapata

Unachotaka usisahau ukikipata
Ukipata usisahau kuna o
Kumbuka ni Mungu juu ya vyote

Tazama juu, utaiona nuru
Baba God, Baba God, Baba God
Baba God Jerusalema

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah
Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Yaya yeah, na uwapende sana wee
Na uwapende sana wee, yaya yeah yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Uwapende Sana (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

Q CHIEF

Tanzania

Q Chief is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE