Home Search Countries Albums

Jesus Walks

ZAIID

Jesus Walks Lyrics


[Chorus]
Jesus walk
Jesus walk
With me, with me, with me

[Verse 1]
Nilipotoka mimi hawatoki mafala mazii ro
Mkwanza mwenye unit mwenye flow kama d rob
Hizi styles p mwenye  mawenge zaidi ya d block
Sauti ya gharama nalalama mithili ya d knob

Machizi wananpima wanavunja mizani
Na Sina masihara ndo navunja utaani
I'm so hardcore na nauza dukani
Marapa wanondisi nawatunza buchani

Natembea kama maji ju ya maji oh Jesus
Tobo nnalopita naliona wanaziba
Old flow kama jela ya Madiba
Wowowo ikahit wanondis hawana figa

Who dat? who dat? Kendrick ama jcole?
Ama Mimi kwa bidhaa nyingi mithili ya k koo
Lay low, shori kama Jlo,mi J joo
Ni KO, nakuvunja mbavu kama Jmond

[Chorus]
Jesus walk
Jesus walk
With me, with me, with me

[Verse 2]
Bila kolabo ya mtu maarufu nshakuwa harufu
Nanukisha flow tupu kasuku wanajishuku
Marufuku, kunipa kolabo kibwege bwege
Vipi wewe, unalegea ka degedege?

Ukikaza unashindwa kumzidi hata Shishi Bebe
Ni kimbembe,Unalegeza kufata soko
Minakaza minanuna na litanifwata soko

Mimi ni mselaaa,siwezi kwenda jela
Nasaka kihalali na siwezi hata kumbwela
Natoka tamaduni tukichana wanafuata
Hawa ndo  mafadha kwa watoto wa mashaka
Kichwa kinadata nikiwapa wanadata
Bado mi ni trapper na mziki unazama chaka

Mwenge nastand ka daladala
Mishe bila idadi Mara bunda Mara ngara
Naswitch kama nura na harakati kama kala
Bila pamba minangoa manzi yako na nna ndala

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Jesus Walks (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZAIID

Tanzania

Zaiid is a hiphop rapper/artist from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE