Home Search Countries Albums

Daresalama Intro

YOUNG DEE

Daresalama Intro Lyrics


Nawaza kombe la ushindi, staki glasi ya bakari
Maisha yanakwenda faster kama gari ni Bugatti
Sidanganyiki na bata nisharidhika na ugali
Nazidi kuwaacha fake Mcees na maswali

Leo ujinga kaniacha na uzembe kaenda mbali
Na uvivu ndo kadanja, siku hizi hata silali
Washa mwenge wa amani, washa moshi hewani
Brother kesho haijulikani leo cheza nami

Huu mziki naufanya bila sticky za home
We ndwiga unanitishia kivipi I'm grown
Bro I'm strong ila naheshimu machizi
Mi ni young but am after doh so ni lazima niwe busy
And am busy busy, nataka girlfriend now (No no)
Nishafika umri wa kuwa so naitwa boyfriend now

Wanasema mimi sio conscious pro 
Hawajui nilichofanya mi ndo favourite wao
Cause nakaza huku naanza safari ya muziki
Alafu nalaza walioanza huku napitia kwa juu
Usiogope mi ni mdogo tu
Ila nang'ata ka mamba aliyekamata kangaroo

No bomboclat my head mi I smoke music
Lemme smoke allday and kill this beat
Hii ni gongo we ni soft drink
Oya mbezi tell'em what you think baby

Haina budi kuniheshimu ka inabidi nikuheshimu
I'm all about green nipe kwanza taslmu cash
Hizi pesa zina stim afuelini ya kutoa walio slim
Kwenye ibada za mizimu

Mbali naona fake rappers ka cartoon
Stabiriki ka mvua za Daresalam leo na doh
Acha nishike nishafika Platnumz (Paka!)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Daresalama (EP)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

YOUNG DEE

Tanzania

YOUNG DEE  is a recording artist and rapper from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE