Home Search Countries Albums
Read en Translation

Dar es Salaam Lyrics


Kutoka alooh

It’s kaniba

Mjini hakuna cha kuokota

Ukikiona usiiname

Mjini hakuna cha bure

Ukipewa usichukue

Ogopa ogopa matapeli

Hili eneo haliuzwi

Usikojoe hapa onyoo

Faini milioni

Katoto, ka elfu mbili

Bingwa wa kuhamisha

Patia anaamisha nini

Anaamisha vyombo tukimaliza kula, kula ubwabwa

Katoto, ka elfu mbili

Kalitaka kuuvunja

Otea kuuvunja nini

Kuuvunja mlango eti anaogopa

Anaogopa mende

Hii bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Ooh bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Hii bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Aah bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Dar es salaam kila bebe iko single

Kama tu una range rover

Uko temeke kila mtu mweupee

Wote kama wazungu

Dar es salaam kila bebe ina shepu

Amka litavunja shingo

Dar es salaam watoto wote wazuri

Take care

Oyah shikamoo, marahaba

Achana nayo hiyo kelele

Dar es salaam heshima pesa

Dar es salaam heshima pesa

Katoto katoto

Ka elfu mbili, kamefanyeje

Bingwa wa kuhamisha

Patia anaamisha nini

Anaamisha vyombo tukimaliza kula, kula ubwabwa

Katoto, ka elfu mbili

Kalitaka kuuvunja

Otea kuuvunja nini

Kuuvunja mlango eti anaogopa

Anaogopa mende

Hii bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Ooh bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Hii bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Aah bandari salama salama salama

Bandari salama salama salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©2024 Bad Nation.All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE