Home Search Countries Albums

Ile Saa

WEUSI

Ile Saa Lyrics


(It's S2kizzy baby)

Naleta ujuzi kazini na sitaki kazi
Zidisha ujuzi kazini ufukuzwe kazi
Bosi hataki uwe bosi, bossi huyoo
Mdosi hataki uwe mdosi, Mdosi huyooo

Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)
Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)

Si tulipeleka rap club bana (Haree)
Si tulifanya mkasema wanabana (Maree)
Si tulifanya wakaacha kubana (Chee chee)
I say hapo hutopata rap za kufanana (Chee chee)
Na siachi kusubiri kufa kufaana 
Na Chuga ni mbegu kali tunazaana
Tananitashivo ukileta sizo
Sisi ni matatizo

I don’t sleep oh no, no, no party silali bwana
Hatuna namna, namna, namna ni si tutusue bwana
Ile saa ya kufanya ya maana fanya ya maana
Ua maupinzani (Ua) Zima maushindani (Zima)
Zima roho fulani (Zima) Ua Mashetani (Ua)

Si ndio Wakanda Forever wanahianya wherever
Ile saa ulisanda linakuita jeneza
Nauliza msingi ulimeza
Ulisahau kuvaa unateleza?

Naleta ujuzi kazini na sitaki kazi
Zidisha ujuzi kazini ufukuzwe kazi
Bosi hataki uwe bosi, bossi huyoo
Mdosi hataki uwe mdosi, Mdosi huyooo

Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)
Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)

Ukileta umimi na mi naleta umimi me
Ukileta usiku naleta mwezi mzima me
Saa mmelala nasimama dede
Na saa mshakufa nasukuma chepe
Watoto wa kulea waambie tete
Watoto wakitaka wacha walete

Usiposhika hela hamwezi shika adabu
Muziki wa vijana watu wanakesha kwa babu
Maswali ya Mungu shetani sio jawabu (Hakosi)
Mungu akikupa shetani hakosi sababu (Mikosi)

Naleta ujuzi kazini na sitaki kazi
Zidisha ujuzi kazini ufukuzwe kazi
Bosi hataki uwe bosi, bossi huyoo
Mdosi hataki uwe mdosi, Mdosi huyoo

Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)
Saa mnalala nasimama dede (Dede)
Saa mnapanga Mungu alipanga (Yeye)

Ile saa, ubaya uko mbele wema uko nyuma
Ile saa, wanga wanazima, Mungu anawasha
Ile taa, bosi fisadi anatumbuliwa
Ule usaa, ndo nyumba aliahidi utanunuliwa

Ngumu kupanda kama una marafiki wanaoshuka
Ni ngumu kuficha kama ulichojamba kinanuka
Eti weusi pipi nyinyi hizi ngumu mnauza
Sitaua tisa juu chini ukigeuza
Mke huwa malaya kama mume anampuuza
lla saa unampa vidonda wengine wanampuliza
Ile saa, ile saa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Air Weusi (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WEUSI

Tanzania

WEUSI is a hip hop music group made up of Joh Makini, G Nako, Lord Eyes and Nikki wa Pili from Tanza ...

YOU MAY ALSO LIKE