Unaniona Lyrics

Kama Mungu angechangua watu wake
Mimi singekuwepo duniani
Kama Mungu angechagua watakatifu
Mimi singekuwepo duniani
[CHORUS]
Mimi binadamu, wala si malaika
Mengi nimekosea na kukuchukiza
Mi nafanya mambo yasiyo stahili
Nimevuruga vuruga mipango yako
Wanihurumia
Mbele ya macho ya wanadamu
Nilikuwa nikijificha
Kumbe wewe waniona
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Nilikuwa/(Kwenye ibada) mnyenyekevu
Tena mpole sana
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Nilikuwa/(Kwenye ibada) mnyenyekevu
Tena mpole sana
Kumbe Mungu, unaniona/unionae
Macho yako, yanitazama/yanitazamae
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
Kumbe Mungu, unaniona/unionae
Macho yako, yanitazama/yanitazamae
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
Sasa nimetambua, mbivu na mbichi ni zipo
Sasa ninaelewa, njia salama ni wapi
Na nimejua bila ya wewe sifiki
Hata nikila pasipo neno lako sishibi
Neema yako, ila kwa neema yako
Upendo wako, kwa upendo wako
Rehema zako zimeniimarisha tena
Neema yako, ila kwa neema yako
Upendo wako, kwa upendo wako
Rehema zako zimeniimarisha tena
[CHORUS]
Mbele ya macho ya wanadamu
Nilikuwa nikijificha
Kumbe wewe waniona
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Nilikuwa/(Kwenye ibada) mnyenyekevu
Tena mpole sana
Kwa kujifanya mtakatifu
Tena bingwa mkarimu
Nilikuwa/(Kwenye ibada) mnyenyekevu
Tena mpole sana
Kumbe Mungu, unaniona/unionae
Macho yako, yanitazama/yanitazamae
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
Kumbe Mungu, unaniona/unionae
Macho yako, yanitazama/yanitazamae
Sikio lako, yanisikia
Siwezi jificha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Unaniona (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
WALTER CHILAMBO
Tanzania
WALTER CHILAMBO is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...
YOU MAY ALSO LIKE