Home Search Countries Albums
Read en Translation

Kamata Lyrics


Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kiuno kamata bega
Kamamta kichwa ka ndoo unabeba
Kamata kimini chalegalega
Ooh maana cha shuka chini unanitega

Aah mah ya leo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

Eeh kama gari ile vuum vuum (Vuum Vuum)
Mtoto mkali mchum chum (Chum chum)
Ikiwa ngangari ile ngumu ngumu (Ngumu ngumu)
Nenda kamchinjie mbali kwa room room 

Sa twende kamata kama unaisakata
Nyuma kwa bambata ile kinoma
Tegeta tabata fanya unaifatata
Za mbuzi kakataa amegoma (Aiiih)

Katikati chini chini (Kamata)
Kasi kasi speed 12o (Kamata)
Eeh kama unamenya ndizi (Kamata)
Police anashika mwizi (Kamata)

Aah mah ya leo kiboko
Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo
Ana komesha toto 
Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

Nasema kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata
Kamata kamata kamatika kamata
Kamata kamata mpaka chini kamata

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kamata (Single)


Copyright : (c) 2021 WCB Wasafi


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DIAMOND PLATNUMZ

Tanzania

Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...

YOU MAY ALSO LIKE