Home Search Countries Albums

Tanzania Lyrics


Eh Mungu asante 
kwa nchi yetu Tanzania (Asante)
Ni wewe uliyeumba mataifa yote
Ikiwemo Tanzania

Umetubariki umoja na amani
Uzalendo mshikamano
Kama bendera inavyopepea
Ni ishara ya kwamba Tanzania ni ya amani

Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania(Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Mtanzania halisi eeh)
Najivunia kuwa Tanzania
Najivunia kuwa Tanzania (Nchi nzuri salama)
Nchi yangu

Amani tuliyonayo ooh
Wengine hawana (Hawana)
Umoja tulio nao 
Wengine hawana (Hawana)

Hata madini ya tanzanite
Huwezi pata mahali pengine 
Nje ya Tanzania hakuna 

Mlima mrefu Kilimanjaro
Baraka ya Tanzania
Tunajivunia eeh 

Ni wewe uliyeumba ndege na wanyama
Bahari na uoto wa asili na milima
Ukatupa amani na uhuru Tanzania
Ukatupa ujasiri, na viongozi mahiri

Najivunia kuwa Mtanzania (Najivunia mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Nchi yenye amani na upendo)
Najivunia kuwa Tanzania (Tanzania salama eeh)
Najivunia kuwa Tanzania (Nakupenda Tanzaniia)

Najivunia kuwa Mtanzania (Mimi mtanzania)
Najivunia kuwa Mtanzania (Taifa langu salama)
Najivunia kuwa Tanzania (Najivunia kuwa tanzania)
Najivunia kuwa Tanzania (Eeh nchi yangu)

Tanzania, Tanzania, Tanzania
Tanzania, Tanzania, Tanzania

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Tanzania (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE