Accueil Recherche Pays Albums

Mfariji Wangu

WALTER CHILAMBO

Read fr Translation

Mfariji Wangu Lyrics


Asante Yesu
Libarikiwe jina lako bwana
Uinuliwe Bwana
Mungu Baba Mtakatifu
Uliemwema na mkamilifu
Mungu Baba na Roho Mtakatifu
Uletae uhai
Mfariji wa kweli
Wewe ulietabibu
Unaeganga mioyo yetu
Uliemwema wakati wote
Ata sasa  ooh Bwana
Ulieweka mchana na usiku
Ujuae mwanzo na mwisho wetu
Wakati wa furaha na uchungu
Utabaki kuitwa Mungu

Ni wewe, Ni wewe Bwana
Ni wewe, Ni wewe Bwana
Hakuna kama wewe
Ni wewe, ni wewe Bwana
Ni wewe, ni wewe Bwana

Ninaposema wewe ni Bwana
Ni kweli namaanisha
Maana haubadilishwi na mazingira
Wewe wayabadilisha
Unaweza badilisha uchungu
Unaweza badilisha mateso kuwa furaha
Kilio kuwa kicheko
Unaweza badilisha huzuni
Machozi yanaotoka yakamiminika kama mito kuwa Amani
Wewe ni mfariji
We ndiye Amani
We ndiye Amani
Hakuna zaidi yako

Wewe Ni Wewe Ni Wewe Bwana
Ni wewe, Ni wewe, Ni wewe Bwana
Unaetupa Amani ya kutosha
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Rafiki, Rafiki, Rafiki wa Kweli
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana
Ni wewe Bwana Ni wewe Bwana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mfariji Wangu (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzanie

WALTER CHILAMBO est un artiste tanzanien de musique Gospel. ...

YOU MAY ALSO LIKE