True Love Lyrics
We umekuwa sindano mi pulizo
Mi mfenyakazi bora we likizo
Eti mimi ni mfano wa shati we kishikizo
Ushagundua nakupenda mama isiwe tatizo
Nimeshakupa we ndo moja namba
Uwanja wako usihofu tambaa
Nipe vyanda vya kutosha
Nimeshakupa we ndo moja namba
Uwanja wako usihofu tambaa
Nimeganda vya kutosha
Mi nakupenda ndo maana ng’ang’ania
True love na sio bandia
Upole kama wa ngamia
Kila nanusuru roho yangu
Ukiniambia nipike ntakupikia
Cause najua mahaba
Nakumbukaga kamchezo kale
Ka kula nibakishie Baba
Tena unanimalizaga ule mchezo wa kibabababa
Raha ninazo zipata kumbe , Kwa ex wangu nilivaba
Sweet sweet love
Sweet sweet love
Sweet sweet love
Sweet sweet love
Ex hana lolote
Ex wangu ni nyama ya wote
Yani kila siku uwongo umenifanya niondoke
Mapenzi hayana mahesabu
Baby usipate taabu
Vibinti vinapenda mababu
Ila kwangu tulia we
Mi nakupenda ndo maana ng’ang’ania
True love na sio bandia
Upole kama wa ngamia
Kila nanusuru roho yangu
Ukiniambia nipike ntakupikia
Cause najua mahaba
Nakumbukaga kamchezo kale
Ka kula nibakishie Baba
Tena unanimalizaga ule mchezo wa kibabababa
Raha ninazo zipata kumbe , Kwa ex wangu nilivaba
Sweet sweet love
Sweet sweet love
Sweet sweet love
Sweet sweet love
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : True Love (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
TUNDA MAN
Tanzania
Tunda Man is a Bongo flava artist from Tanzania. He is a member of the music group called Tip T ...
YOU MAY ALSO LIKE