Home Search Countries Albums

Money Paper

SONGA

Money Paper Lyrics


Money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Ukinipa salamu nitashukuru
Ila ukinipa pesa siwezi kusahau soon
Maana ni tam kutumia mapenzi yanarun moyoni
Pesa ina run dunia
Ikikupitia kushoto watu wanaturn kulia
Watu wanakupanga mwanangu ndo ujanja mwanangu
Dem hapendi six packs, mbele ya mkwanja mwanangu
Tupige kazi tena daily sababu tuna zihitaji more kama Dewji
Jinsi zinanipigisha show kama crazy
Huna hela unajifanya bishoo kushinda JayZ

Nigga huwezi kuwa serious kabisa 
Una thao mbili unataka kula biriani la sinza
Niko na machizi tukimixer una mixer 
Ya kusaga mashilingi ya kufix down mashida

Money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Usinione bishoo kwa kuwa msafi tu
Nitakutoa roho ubaki roho juu
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper
Nataka hizo money money money
Nataka hizo paper

Inauma kupiga dili na ufeli
Hata ka ulikopesha ukweli utadai kweli
Sawa pesa haileti furaha 
Ila bora kulia ndani ya Range sio juu ya baiskeli

Kabla kazi na dawa, kazi na sala inaanza
Ukipata shukuru kwa maana usawa unakaba
Wasaidie wasiojiweza maana ndo baraka baba
Usishangae siendi church nasaka sadaka kwanza

Iwe sarafu au noti dili ninazo
Nazipenda ka wanangu wa Moshi Kilimanjaro
Tuzisake usiseme ni adimu si hayo
Tuliza kichwa acha wazimu dili kibao
Boost kibao, push michongo
Jibwa lisipotee kwa ile miluzi ya uwongo
Tukiwa kwenye mazungumzo muhimu zima mziki
Pesa ikiongea ongeza sauti kidogo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Money Paper (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SONGA

Tanzania

Songa a.k.a  Niite Songa  is a Tanzanian hiphop artist. ...

YOU MAY ALSO LIKE