Home Search Countries Albums

Chukua Lyrics


Sanaipei na niko na The beat killer
Ana mchezo wa kutisha zake si za kubahatisha
Akianza sugua utamwomba tamatisha
Mitendo yake chungu mzima
Aishi kunipinda pinda
Tukiyatamatisha maumivu yafika ncha

Akiniita, ooh najipa mzima mzima
Akiniita, sina fikira za kumnyima

Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah
Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Haina haja kufungua pazia
Ye huenda kiza hadi kiza
Pandisha tu sauti kwenye spika
Majirani wasije kaskia
Zile sauti za raha ah ah
Zile sauti za ah ah ah 

Akiniita, ooh najipa mzima mzima
Akiniita, sina fikira za kumnyima

Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah
Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Naomba kipepeo, nipepee nipepee
Maji ya baridi, nipozee nipozee
Mafuta ya nazi, nipake nipake
Basi na pozi, twendelee twendelee 

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nabo (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SANAIPEI TANDE

Kenya

Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...

YOU MAY ALSO LIKE