Home Search Countries Albums

Mfalme wa Mapenzi

SANAIPEI TANDE

Mfalme wa Mapenzi Lyrics


Uuu ahhha baby
Malaika zangu za inuka kila anapo niguza
Pumzi nazo mi zaniishia kila anapo nidadisia
Vile ata nipenda
Vile ata niroga
Vile ata niliza 
Vile ata
Anapo nibusu uuu
Anapo nilaza chini iii
Na anapo nipapasa aaa
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye.
A Ni faye
Yu wafanya Kwa utaratibu
Yoja wamaliza nguvu
Sina budi ila kumruhusu
Anipe sumu.
Anapo nibusu uuu.
Anapo nilaza chini iii
Na anapo nipapasa aaa
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye a ni faye
Ni wie radhi
Sio ati ni mara ya kwanza
Kufanya mapenzi
Lakini bila shaka
Hamna mwingine kama yeye
Nimepata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine ila ye a ni faye

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mfalme Wa Mapenzi (Single)


Copyright : ©2019


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

SANAIPEI TANDE

Kenya

Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...

YOU MAY ALSO LIKE