Mfalme wa Mapenzi Lyrics
Uuu ahhha baby
Malaika zangu za inuka kila anapo niguza
Pumzi nazo mi zaniishia kila anapo nidadisia
Vile ata nipenda
Vile ata niroga
Vile ata niliza
Vile ata
Anapo nibusu uuu
Anapo nilaza chini iii
Na anapo nipapasa aaa
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye.
A Ni faye
Yu wafanya Kwa utaratibu
Yoja wamaliza nguvu
Sina budi ila kumruhusu
Anipe sumu.
Anapo nibusu uuu.
Anapo nilaza chini iii
Na anapo nipapasa aaa
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye a ni faye
Ni wie radhi
Sio ati ni mara ya kwanza
Kufanya mapenzi
Lakini bila shaka
Hamna mwingine kama yeye
Nimepata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine ila ye a ni faye
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Mfalme Wa Mapenzi (Single)
Copyright : ©2019
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
SANAIPEI TANDE
Kenya
Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...
YOU MAY ALSO LIKE