Sijali Lyrics

Sijali sijali
Sijali sijali sijali...
Asa kwanini unipige pini nashangaa
Mwanga ulikuwa mwingi vipi basi uzime taa
Siwezi tena nyanyuka nimeduwaa
Nishindwe ni vipi wapi nimejikaa
Yaani wanataka mimi nisifike mbali
Nipate matatizo usiku silali
Nawaambie haya yote majaribu
Nisishindane nayo nitakuja haribu
Ila mimi bado ndo kwanza mi nakazana
Sitaacha milele nitazidi kushindana
Watasema lakini nitazidi kupambana
Kweli binadamu ni watu wa ajabu sana
Imani yako ndio silaha yako Mola ndo ajua
Apangalo Mungu mwanadamu hawezi pangua
Eeh sijali sijali sijali,
Bado napambana
Sijali sijali sijali
Bado napambana
Saa hivi nina mengi mpaka mengine nayasahau
Walileta madharau kweli mi sitosahau
Na si utani dah leo hii kila napopita
Wasiponigusa basi wataniita
Wabaro zao zote zilisita
Wakati wao ndo walioanzisha vita
Na nimewajua wote na nipo nao kivyovote
Walitaka nisote kwenye maisha nisitoke
Na nisifike popote
Imani yako ndio silaha yako Mola ndo ajua
Apangalo Mungu mwanadamu hawezi pangua
Eeh sijali sijali sijali,
Bado napambana
Sijali sijali sijali
Bado napambana
Kama sio leo kesho kwote ni changamoto
Nitapata wakati wangu upo
Ila mimi sijali yeiyee
Ila mi sijali...
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Sijali (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ROSE NDAUKA
Tanzania
Rose Ndauka real name Rose Donatus Ndauka (7 October 1989) is a rapper, actress, entrepreneur and a ...
YOU MAY ALSO LIKE