Home Search Countries Albums
Read en Translation

Salama Lyrics


Heieee aaah
Haaaaooo
Mmmmmm
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni sakama rohoni mwangu
Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani
Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu
Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani
Wala sichukui laana yake ni salama rohon mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoniiiiii
Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia
Pale utaposhuka wala sitaogopa Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Kwako salama salama rohoni
Kwako salama Yesu ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2016


Album : Salama (Single)


Copyright : ©2016


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

ANGEL BENARD

Tanzania

Angel Benard is a gospel singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE