Cheza Lyrics
Rj the Dj, all day baby
Penzi lina meno limeuma
Lina ya mbele na ya nyuma
Ukipata wa kukutafuna
--sina shaka mama
Kila chonde chonde
Saa na tochole wasijue
Jamani
Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa
Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana
Mwisho wa siku nitazikwa naye
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
--------------------
--------------------
Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa
Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana
Mwisho wa siku nitazikwa naye
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Changes/ Cheza (Album)
Copyright : (c) 2019 Wasafi Records
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RJ THE DJ
Tanzania
Romy Jones aka Rj The Dj is an artist, WCB vice president, Diamond Platnumz official Dj/ Wasaf ...
YOU MAY ALSO LIKE