Home Search Countries Albums

Wamoto

RICH MAVOKO

Wamoto Lyrics


(Moko!)

Kama sanamu ukicheka
Una sura ya mdoli
Siwezi kuneng'eneka 
Kwako mateka kigoli

Na sipagawi kiunoni shanga
Umbo umejaliwa
Uko kibada nitauza shamba
Ama ushanunuliwa

Usije tanga tanga kwa waganga
Mwisho ukaibiwa
Mpaka varandani tulicheze vanga
Toto amejaliwa

Mi natamani kumshika (Wamoto huyo)
Asa nikimuona (Wamoto huyo)
Akikatiza kwa mtaa (Wamoto huyo)
Moyo unanisonona (Wamoto huyo)

Tena alivyoumbika (Wamoto huyo)
Toto nyama kanona (Wamoto huyo)
Sasa mimi nitafanyaje (Wamoto huyo)
Naishia kumuona (Wamoto huyo)

Anakomesha sista duu
Wanamuita mama yao
Namtamani kwa bedi tuu
Kanikomesha kwa viwalu

Hayo macho ukimwona
Kama amekula kungu
Alipofumuka anashona
Huko nyuma kama nundu

Na sipagawi kiunoni shanga
Umbo umejaliwa
Uko kibada nitauza shamba
Ama ushanunuliwa

Usije tanga tanga kwa waganga
Mwisho ukaibiwa
Mpaka varandani tulicheze vanga
Toto amejaliwa

Mi natamani kumshika (Wamoto huyo)
Asa nikimuona (Wamoto huyo)
Akikatiza kwa mtaa (Wamoto huyo)
Moyo unanisonona (Wamoto huyo)

Tena alivyoumbika (Wamoto huyo)
Toto nyama kanona (Wamoto huyo)
Sasa mimi nitafanyaje (Wamoto huyo)
Naishia kumuona (Wamoto huyo)

Mi bado sijatulia (Nazichanga changa)
Usipagawe jina (Nazichanga changa)
Nitaunda hata rubia (Nazichanga changa)
Ili kukata bima (Nazichanga changa)

Nafanya tu nikupate (Nazichanga changa)
Ili niwe na wewe (Nazichanga changa)
Afya nikuvishe pete (Nazichanga changa)
Uje nyumbani Kinole (Nazichanga changa)

Baby!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Minitape EP (EP)


Copyright : (c) 2020 Billionaire Kid


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RICH MAVOKO

Tanzania

RICH MAVOKO is  a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE