Home Search Countries Albums

Kaweka

RICH MAVOKO

Kaweka Lyrics


Niwekeze kwako
Upendo nikope
Nilegeze macho
Nilewe hadi kope

Mwenzio, mwenzio
Nakitazama kioo
Beiby no, beiby no
Usitamani lishoo

I say(Kaweka)
Nikizungusha(Kaweka)
Nikiinuka(Kaweka)
Kalivyo na mizuka(Kaweka)

I say mama yeah(Kaweka)
Nikibinuka(Kaweka)
Kanaipukuta(Kaweka)
Mpaka kwa ukuta(Kaweka)

Nipeleke hadi boda
Ikinasia irudishe Lugoba
Na maungo yamenoga
Iko jasho kama mama unakoga

Oya change siba
Change siba
Nimalize kabisa mazima
Bora nipe ...nipe...
Hadi bashini leo navichuma

Ya solo
Nipapase kama solo
Kwenye chochoro
Iweke, tomorrow

I say(Kaweka)
Nikizungusha(Kaweka)
Nikiinuka(Kaweka)
Kalivyo na mizuka(Kaweka)

I say mama yeah(Kaweka)
Nikibinuka(Kaweka)
Kanaipukuta(Kaweka)
Mpaka kwa ukuta(Kaweka)

Irudishe kabisa kwa gamba
Iweke kimyani
Ifikishe, itoe na maganda
Uipe maruani

Eeh mzee mkumbatie, mng'ate 
Naumkumbatie datty gote
Namkamatie, mkamate 
Mkumbatie kotekote

Mbali oooh sheriee
Gari limezima kona
Hadithi uwongo na kweli
Ili niweze kupona

Asa nikokote mpaka Chamange
Chutama nione masinema
Na, nakula kuku na mtama
Uno la paka chongo la kutekenya

Yeah(Kaweka)
Nikizungusha(Kaweka)
Nikiinuka(Kaweka)
Kalivyo na mizuka(Kaweka)

I say mama yeah(Kaweka)
Nikibinuka(Kaweka)
Kanaipukuta(Kaweka)
Mpaka kwa ukuta(Kaweka)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Kaweka (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RICH MAVOKO

Tanzania

RICH MAVOKO is  a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE