Home Search Countries Albums

Sibanduki

RHINO Feat. MR BLUE

Sibanduki Lyrics


(Kimambo on the beat)

Bonge la toto, nyuma kokoto 
Za ki baikoko, lile bokoboko
Ana mwendo wa midadi
Nishamuekea guard lakini underbody 

Mambo yake maridadi
Benati tipotapo
Ananipa double double
Ntafungasha kirago nampeleka Chicago 

Mambo mwakemwake kwa hilo penzi lake
Akizungusha body body 
Yani nalipa kodi kodi 
Akienda akirudi rudi 
Yananipanda midadi daddy
                                              
Vitu vyake si kitoto 
Ananipa changamoto

Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake

Ameniweka ndani nje stoki staki 
Raha za chumani nje spati staki 
Stoki kitandani ujuzi umeutoa wapi? 
Umenipa dawa gani wewowani kweli skwachi

Sibanduki kwake sijaona mfano wake
Wenye chuki kwake, mmeona tunda lake? 
Mmeona raha ya mume akiwa na mke akiwa na wakwe? 
Mnamuona mwanamume anajituma ili asiachwe? 

Penzi lake si kitoto limenishika
Aubui changamoto jogoo akiwika
Penzi lake si kitoto limenishika
Aubui changamoto jogoo akiwika

Vitu vyake si kitoto 
Ananipa changamoto

Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake

Vitu vyake si kitoto 
Ananipa changamoto

Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake
Sibanduki kwake

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sibanduki (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RHINO

Tanzania

Rhino The Don is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE