Toto Lyrics
Eyaa bro niaje bana uko fine
Na umepotea nina issue bana
But sijui kama unaeza okolea
Issue gani bro si unajua tu ni ya magyalis
Kuna mwenye ako box buda na anakaa Pangani
Na dem jo bana ulimpata wapi?
Nini buda si unajua tu mi ni nani
Mtoto ni mloyal na hajailete visirani
Na nilikuwa naona nimpeleke kwa wazazi
Aii yoh buda uko sure?
Buda niko sure bro mimi najijua
Hio pongi aki ya nani siwezi hata tumia Sure
Hio pongi nikidhani mi ndo wa kwanza kusugua
Eeh sawa sawa
---
--
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Toto (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
REKLES
Kenya
REKLES Kraytom is a Hip Hop and dancehall musician from Kenya. A member of Ethic Entertainment. ...
YOU MAY ALSO LIKE