Home Search Countries Albums

Pagawisha

ALLY MAHABA

Pagawisha Lyrics


SHIRKO, Shirko Media)

Vile ninavyompenda 
Kamoyo hakataki kusita ng'o
Linanitokaga denda
Nikitazama yake nyonga oh

Mechi zangu anapenda
Njaa yangu polisi chenga no
Rangi ya jogoo nywele singa
Havuti vuti si wa kuchonga goks

Anavyokatika pale ndo anaponiumizaga ga
Kwenye sofa anafanyaga miujiza ah ah
Taa haziwaki, anakipendaga kiza ah ah
Nami namgongea, nampaga na visa ah ah

Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)

Namtekenya na sharubu
Anaweweseka anakuwa bubu
Ananimiliki mi na mmudu
Amejiriwesha mlenda kwenye shundu

Ana ki-shape cha Mobetto
Mdoli wa ki-Swazi mseto
Najifungia naye ghetto
Ndio maana nikiwa mbali napiga

Anavyokatika pale ndo anaponiumizaga ga
Kwenye sofa anafanyaga miujiza ah ah
Taa haziwaki, anakipendaga kiza ah ah
Nami namgongea, nampaga na visa ah ah

Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)
Ananipapapa (Pagawisha) Papapa (Pagawa)

Taratibu nikuteke, nyonga nyonga
Kama paka wa tekeme, nyonga nyonga
Ninogeshe mi nitosheke, nyonga nyonga
Mi-judo mixer mateke, ke ke 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Pagawisha


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALLY MAHABA

Kenya

Ally Mahaba is an artist from Kenya signed under ATL MUSIC. ...

YOU MAY ALSO LIKE