Fantastic Lyrics

Tazama kukinyesha kunanyesha kwote
Hakujawai baki baki
Na kama mwanga wa angaza kote
Sio kwingine kuna taki
Kukuacha mimi kama ndoto
Fadhili zako za milele
Ulinipenda ningali mtoto
Matendo yako yashangaza wewe
Wewe kwangu kama dawa
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya
You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Kazi yako extra odinare
Mapenzi yako kwangu ni attractive
Matendo yako yanifanya nitafakari
Hivi wanijua toka tumboni
Uliniokota nikiwa chini
You are fantastic
Ukanifanya kuwa mimi
You are fantastic
Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love
Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love
Wewe kwangu kama dawa
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya
You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Fantastic (Single)
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
PETER BLESSING
Kenya
Peter Blessing Singer,Performer and Song Writer from Taita Taveta County. Discovered by Bahati. ...
YOU MAY ALSO LIKE