Home Search Countries Albums

Fantastic

PETER BLESSING Feat. BENACHI

Fantastic Lyrics


Tazama kukinyesha kunanyesha kwote
Hakujawai baki baki
Na kama mwanga wa angaza kote
Sio kwingine kuna taki

Kukuacha mimi kama ndoto 
Fadhili zako za milele 
Ulinipenda ningali mtoto
Matendo yako yashangaza wewe

Wewe kwangu kama dawa 
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

Kazi yako extra odinare
Mapenzi yako kwangu ni attractive
Matendo yako yanifanya nitafakari
Hivi wanijua toka tumboni

Uliniokota nikiwa chini
You are fantastic
Ukanifanya kuwa mimi
You are fantastic

Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love
Lord, Lord Lord nashangaa wanipa more more more
More love

Wewe kwangu kama dawa 
Nitakuimbia kama kawa
Injili siionei haya
Jukumu langu sitagwaya

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

You are fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic
Nasema You, fantastic, you are fantastic
Unanipenda bure, fantastic
You are fantastic

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Fantastic (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PETER BLESSING

Kenya

Peter Blessing Singer,Performer and Song Writer from Taita Taveta County. Discovered by Bahati.  ...

YOU MAY ALSO LIKE