Home Search Countries Albums

Banjuka Lyrics


Nah nah nah nah nah
Hello uko wapi baba
Naomba niskize mimi mwanao
Mbele zako hapa naona niimbe

Wale walisema ridhiki saba 
Ila yangu kwa muumba 
Nashukuru Mola 
Unanipenda roho yangu waichunga

Mangapi ninapita njiani 
Hata usiku ikilala
Daddy penzi lako la dhamani
Uko nami kila mara

Nani mwingine mi nitoe wapi
Shukurani eh, sina lingine jamani eeh
Oooh baba yangu mi nabanjuka tu
Unanipenda, mi nabanjuka tu
Hutonitenda, mi nabanjuka tu
Banju, banju, banjuka tu

Oooh baba yangu mi nabanjuka tu
Unanipenda, mi nabanjuka tu
Hutonitenda, mi nabanjuka tu
Banju, banju, banjuka tu

Kusifu siku zote za kalenda
Ni wajibu wangu sikani 
Nikitafakari yale yote umetenda
Wakulinganisha sidhani 

Ulonipendaga zamani
Ukawa ngao yangu vitani
Kiongozi wangu maishani
Ulinifia msalabani

Lipi niseme, moyo wangu ujenge
Na wagonjwa waponye waeneze injili iende
Lipi niseme, moyo wangu ujenge
Na wagonjwa waponye waeneze injili iende

Nani mwingine mi nitoe wapi
Shukurani eh, sina lingine jamani eeh
Oooh baba yangu mi nabanjuka tu
Unanipenda, mi nabanjuka tu
Hutonitenda, mi nabanjuka tu
Banju, banju, banjuka tu

Oooh baba yangu mi nabanjuka tu
Unanipenda, mi nabanjuka tu
Hutonitenda, mi nabanjuka tu
Banju, banju, banjuka tu

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Tam Tam (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PETER BLESSING

Kenya

Peter Blessing Singer,Performer and Song Writer from Taita Taveta County. Discovered by Bahati.  ...

YOU MAY ALSO LIKE