Home Search Countries Albums

Tam Tam Lyrics


Tam Tam Tam Tam
Tam Tam Tam Tam
Nahisi niko juu sina stress
Akilini niko fresh
Kwa Mungu wangu juu sina kesi
Nahesabu tu mabless

Ananibembeleza mtoto (Ayee)
Aelewa zangu ndoto (Ayee)
Nijapoteleza kidogo (Ayee)
Aninyanyua si uongo (Ayee)

Kupendwa jamani (Tam Tam Tam Tam)
Mimi nawe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)
Mmmmh (Tam Tam Tam Tam)
Kupendwa na wewe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)

Wengine mapenzi yao, si kamili ngumu roho zao
Nilinde kwa vita vyao kila wakati we yangu ngao
Yesu we wangu dakitari uniepushe zao sumu kali
Watamba kila mahali, hata wasojali wanahabari

Kupendwa jamani (Tam Tam Tam Tam)
Mimi nawe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)
Mmmmh (Tam Tam Tam Tam)
Kupendwa na wewe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)

Mimi nawe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)
Mmmmh (Tam Tam Tam Tam)
Kupendwa na wewe (Tam Tam Tam Tam)
Siku zote nawe (Tam Tam Tam Tam)
Baba (Tam Tam Tam Tam)

Kama sio upendo wake singekuwepo
Kama si huruma zake, singekuwepo
Ndio maana nampenda, uuh aah nampenda
Nampenda nampenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Tam Tam (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PETER BLESSING

Kenya

Peter Blessing Singer,Performer and Song Writer from Taita Taveta County. Discovered by Bahati.  ...

YOU MAY ALSO LIKE