Home Search Countries Albums

Bwana Mkubwa

FOBY

Bwana Mkubwa Lyrics


[VERSE 1]
Siyo kisa umepewa bastola
Ndo kila kukicha uue
Pengine kukaa nyuma kama kola
Tusi mzembe si wewe
Ningekupa mi ningekupora
Tuone
Mana watoto wa mjini unachowafanya
Hayaaaaa aa wee
Kuna wengine unawamiminia risasi
Bila kuangalia rika
We mtu gani hata husikii ukakasi
Watu wanavyolalamika
Siyo uumbaji
Mungu hajaumba hicho kipaji
Siyo uumbaji ni we mwenyewe
Siyo uumbaji
Mungu hajaumba hicho kipaji
Siyo uumbaji ni we mwenyewe

[CHORUS]
Bwana mkubwa  ooh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana mkubwa
Bwana
Bwana mkubwa  ohh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana Mkubwa

[VERSE 2]
Natamani kungekuwaga na limit
Ohh limit ya kupiga risasi
Ukipiga mbili (kwa mwaka)
Kinawekwa kizingiziti
Ohh kizingiziti
Hazitoki ndo basi
Kama zumbukuku
Hayo ufanyayo
Ufanyayo
Tabia za kuku
Kwa binadamu siyo
Ohh siyo
Kuna wengine unawamiminia risasi
Bila kuangalia rika
We mtu gani hata husikii ukakasi
Watu wanavyolalamika
Siyo uumbaji
Mungu hajaumba hicho kipaji
Siyo uumbaji ni we mwenyewe

[CHORUS]
Bwana mkubwa  ooh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana mkubwa
Bwana
Bwana mkubwa  ohh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana Mkubwa

[HOOK]
Siyo uumbaji
Mungu hajaumba hicho kipaji
Siyo uumbaji ni we mwenyewe x

[CHORUS]
Bwana mkubwa
Ooh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana mkubwa
Bwana
Bwana mkubwa  ohh bwana
Bwana mkubwa
Ubadilike bwana
Bwana mkubwa eeh
Bwana
Bwana Mkubwa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Bwana Mkubwa (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

FOBY

Tanzania

Frank Ngumbuchi, popularly known as FOBY, is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE