Nairobi Parody (Madugugio) Lyrics

Utumizi wa pombe, sijui
Hapa manyanga wamenizingira
But huku si kwangu ni place me hutulia
Kumbe mahunnies wamenikufia
Nimeziuma sana
Vile mpenzi wangu angeniua
Na angeniweka hata ndani ya gunia
I must be drinking nikose fikiria
Umenijenga sana
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio..
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio nadai
I need muguka hapa, woiyooo
Chang'aa is gonna kill me
One of this fine days yawa
Nakula life, what is
Na vile shoi yako kwanza inanukia
Siku ya kwanza vile mtu hujishutia
Kumbe si mi pekee nilinusia
Hiyo shoi ilikataa kwenda
Na mnyonyi yangu nikikujazia
Kutingika usare utanimwagikia
Najua namwaga chini nitarudia
Nitakufulizia sana
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio..
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio nadai
Goka, goka na hii Keg
Goka, goka na hii Keg
Goka, goka na hii Keg
Goka, goka na hii Keg
Brain rada hizi madeni blunder
Sai nina 2soo ya matha, hii ni final drink
Nikikupea unipee hii ni ngori mafuta ya taa
Utachomwa unuke bladder
Ushaichota kuro mang'aa
Na unajichocha sana
Madem madem aish
Wacha nibaki na hizi
Hauna maswali mingi
We bikira na hauna upuzi
Na hatubishani
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio..
Madugugio, kile unanipea
Vile unanipea naeza kugotea
I wish ungeongea na nakunywa fare
Sio eti nina care, mogoka sa ndio nadai
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Nairobi Parody (Madugugio) (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
PADI WUBON
Kenya
Padi Wubonn is a famous Kenyan based Comedian,Mc, actor,script writer,film director, song writer, gy ...
YOU MAY ALSO LIKE