Home Search Countries Albums

Leilah

OTILE BROWN Feat. KIDUM

Leilah Lyrics


Leilah Lyrics
 

Oooh yeah, aah aah yeiyeee
Alright

Anaitaka hapati
Alijaliwa kidhamini
Yeiyei yeiyee mmmh

Hakika mwana akipenda kweli
Atapigana vita vingi
Aibu sio penzi

Hivyo unampendea nini
Wakati kila kutwa anakuliza
Unang'ang'ania nini
Ni zaidi ya heri sivuti

Wanaume wengi ni kama -
Hawamaanishi wasemacho
Ni waongo hawafai

If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora 
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

Changu chako, chako changu mi nawe
Na wewe
Tena niacha utoto, kutwa kucha machangu
Nikuoe

Nitakuwa shujaa wako mama 
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Ukinihitaji mama, nipigie simu yangu

Nitakuwa shujaa wako mama 
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Nipigie simu yangu

If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora 
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila 
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila

Ningekupenda ipasavyo my beiby

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Just In Love Album (Album)


Copyright : (c) 2020 Just In Love Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

OTILE BROWN

Kenya

Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...

YOU MAY ALSO LIKE