Leilah Lyrics
Leilah Lyrics
Oooh yeah, aah aah yeiyeee
Alright
Anaitaka hapati
Alijaliwa kidhamini
Yeiyei yeiyee mmmh
Hakika mwana akipenda kweli
Atapigana vita vingi
Aibu sio penzi
Hivyo unampendea nini
Wakati kila kutwa anakuliza
Unang'ang'ania nini
Ni zaidi ya heri sivuti
Wanaume wengi ni kama -
Hawamaanishi wasemacho
Ni waongo hawafai
If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora
Mwanamke anahitaji matunzo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Changu chako, chako changu mi nawe
Na wewe
Tena niacha utoto, kutwa kucha machangu
Nikuoe
Nitakuwa shujaa wako mama
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Ukinihitaji mama, nipigie simu yangu
Nitakuwa shujaa wako mama
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Nipigie simu yangu
If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora
Mwanamke anahitaji matunzo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila
Ningekupenda ipasavyo my beiby
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Just In Love Album (Album)
Copyright : (c) 2020 Just In Love Music
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
OTILE BROWN
Kenya
Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...
YOU MAY ALSO LIKE