Home Search Countries Albums

Salama

RADICAL Feat. DAVID WONDER

Salama Lyrics


Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Umeondoa aibu, aibu
Ukaondoa dharau masaibu, masaibu
Na sina tena wa kumwambia
Kile roho inapitia baba
Nitakuishia forever
For you Lord

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Kuna time mi nakosa
Lakini hujawahi comoplain 
Hujawahi nitoka
Hujawahi ninunia

Kama kuna kitu iko ndani ya pain
Ifanye neno yako iende chain chain
Ndani yako hakuna compe
We baba unanitosha

Sioni nikienda kando na
Hata kama iwe mambo na
Mwanadamu atangoja, haiya
Atangoja sana 

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Niko salama
Niko salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Salama (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RADICAL

Kenya

Radical is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE