Home Search Countries Albums

Kosea Lyrics


Mmh hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana (Ooh oh oh)

Sometimes nafanya zile vitu sipendi
Ili nikuridhie
Ila ndo bado nanong'ona, yeah yeah 
Natamani ardhi ipasuke, inimeze
Maana mwenzio nimechoka

Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby

Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby

Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana 

(Vicky pon dis)

Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe

Beiby niende kushoto uende kulia, kama hatutakani
Nimekuvumilia, ila ni kama hatuendani
Kila siku vitimbi, utadhani vioja mahakamani
Hapa ilipotimia kwa hili penzi nishapoteza imani

Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana 

Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Just In Love Album/ Kosea (Album)


Copyright : (c) 2020 Just In Love Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

OTILE BROWN

Kenya

Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...

YOU MAY ALSO LIKE