Kosea Lyrics

Mmh hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana (Ooh oh oh)
Sometimes nafanya zile vitu sipendi
Ili nikuridhie
Ila ndo bado nanong'ona, yeah yeah
Natamani ardhi ipasuke, inimeze
Maana mwenzio nimechoka
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
(Vicky pon dis)
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Beiby niende kushoto uende kulia, kama hatutakani
Nimekuvumilia, ila ni kama hatuendani
Kila siku vitimbi, utadhani vioja mahakamani
Hapa ilipotimia kwa hili penzi nishapoteza imani
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Just In Love Album/ Kosea (Album)
Copyright : (c) 2020 Just In Love Music
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
OTILE BROWN
Kenya
Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...
YOU MAY ALSO LIKE