Home Search Countries Albums

Yanini

ECHO

Yanini Lyrics


Kila siku nikusamehe
Unaniumiza ila ni sawa
Hadi mimi nina moyo
Unachanja na hupaki dawa mmmh
Uwaga unasema nisifate habari zao
Uwaga unasema wazushi wa mitandao
Kumbe mengine ya kweli wayasemayo
Unaniumiza wewe

You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low
You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low

Ulimwaga mboga Ila ugali naenda nao
Nilikupa moyo ila roho niache naayo oo mm
Hivi ya nini, ya nini, yanini mbona tutesane roho
Hivi ya nini, ya nini, yanini yanini unifanye kiporo
Hivi ya nini, ya nini, ama tu niwe mtoro

Mbona uniweke roho juu wakati nikipozaliwa sikuzaliwa na wewe
Alipoumbwa kila mmoja na ubavu wake bora angewekwa alama
Mapenzi safari ya wote ila cha ajabu kila mmoja ana stage yake
Huenda kwako sio chochote ila naamini yupo wangu ananingojea

You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low
Your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low

Ulimwaga mboga Ila ugali naenda nao
Nilikupa moyo ila roho niache naayo oo mm
Hivi ya nini, ya nini, yanini mbona tutesane roho
Hivi ya nini, ya nini, yanini yanini unifanye kiporo
Hivi ya nini, ya nini, ama tu niwe mtoro

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Plus 254 (EP)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ECHO

Kenya

Echo is an artist from Kenya signed under Kubwa Studios. ...

YOU MAY ALSO LIKE