Aje nione Lyrics
Oooh,
Ooh baby,
Naamini kila binadamu ana ubaya na uzuri wake, baby,
Mmmh,
Naamini kila binadamu ana madhaifu yake,
Ooh baby,
Mmmh,
Nami yangu nayajua na nakabiliana nayo,
Ila mwenzio sitojua kwa kosa la kuumiza moyo wako, ooh nisamehe
Tena najuta, najuta eeh,
Aah, yalonikuta,
Kazi ya ibilisi mama,
Tena usiku silali,
Labda nilewe chakari,
Ama nilale mama na picha yako kifuani,
Ndo nijisuku nami je unaniwaza
Mmh baby,
Ama tamaa kwangu ulishakata,
Aje anione, aje akanione,
Aje anione,
Aje anione ne ne ne ne
Wajua ninakukosa sana, hasa giza linapotanda,
Mi mahututi,
Mi mahututi
Wajua nmekuzoea mama, nakuhitaji leo zaidi ya jana,
Na endapo utachelewa mama,
Mi maiti,
Eeeh,
Tena najuta, najuta eeh,
(Mamaa)
Yalonikuta,
Kazi ya ibilisi mama,
Tena usiku silali,
Labda nilewe chakari,
Ama nilale (mama) na picha yako kifuani,
Ndo nijisuku nami,
Je unaniwaza,
Mmh, baby,
Ama tamaa kwangu ulishakata,
Aje anione, aje akanione,
Aje anione,
Aje anione ne ne ne.
Translate to English
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Aje nione (Single)
Copyright : (c)2018
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
OTILE BROWN
Kenya
Otile Brown real name Jacob Otieno Obunga (born on 21st March 1994) is an urban contemporary musicia ...
YOU MAY ALSO LIKE